Sunday, May 27, 2012

DIAMOND PLATINUM AINGIA SOUTH AFRICA KWAAJILI YA KAZI MOJA TU>>>>>KUTOA BURUDANI

DIAMOND PLATINUM AINGIA SOUTH AFRICA KWAAJILI YA KAZI MOJA TU>>>>>KUTOA BURUDANI

Mtu mzima Diamond amedondoka pande za South Africa tayari kwa burudani kali kabisa kwa watanzania waishio pande za Durban na Capetown. Nilivyowasiliana nae dakika 10 zilizopita asubuhi hii ameniambia usiku wa kuamkia leo jumapili alikuwa na show Capetown so baada ya hapo nadhani itakuwa Joburg 

Huyu ndio promota aliyemleta Diamond South Africa kupiga show 

Diamond akiwa na Wasafi wa SA

No comments:

Post a Comment