Sunday, May 27, 2012

TAARIFA YA KUKAMATWA KWA MADAWA YA KULEVYA AINA YA BANGI MAGUNIA 50 NA WATUHUMIWA WANNE MKOANI ARUSHA

TAARIFA YA KUKAMATWA KWA MADAWA YA KULEVYA AINA YA BANGI MAGUNIA 50 NA WATUHUMIWA WANNE MKOANI ARUSHA

Mkuu wa kitengo cha kuzuia na kudhibiti madawa ya kulevya Mkoa wa Arusha Mrakibu wa Polisi Hamis Warioba akiwaonyesha waandishi wa habari shehena ya mifuko 50 ya bangi iliyokuwa kwenye gari baada ya kukamatwa tarehe 23/05/2012 wilayani Longido (PICHA NA GLADNESS MUSHI WA FULLSHANGWE-ARUSHA)
Mkuu wa kitengo cha kuzuia na kudhibiti madawa ya kulevya Mkoa wa Arusha Mrakibu wa Polisi Hamis Warioba akihoji jambo kwa watuhumiwa hao.

No comments:

Post a Comment