Friday, June 15, 2012
PICHA NA MATUKIO TOFAUTI NDANI YA TUZO ZA TASWA USIKU WA JANA DIAMOND JUBILEE
![]() |
Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake |
![]() |
Familia ya ndondi |
![]() |
Wadau wa ndondi |
![]() |
Tedi Mapunda kulia na bosi wake |
![]() |
Eiphraim Mafuru kulia |
![]() |
Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi |
![]() |
Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi' |
![]() |
Kaburu kulia akikabidhi tuzo |
![]() |
Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo |
![]() |
Athumani Hamisi akikabidhi tuzo |
![]() |
Asha Baraka akikabidhi tuzo |
![]() |
Mafuru akikabidhi tuzo |
![]() |
Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana |
![]() |
Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo |
![]() |
Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir |
![]() |
Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi |
![]() |
Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho |
![]() |
Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka |
![]() |
Ally Choky akikabidhi tuzo |
![]() |
Mafuru akipakia msosi |
![]() |
Kim Poulsen kulia akiwa na nani sijui |
![]() |
Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli |
![]() |
Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi... |
![]() |
Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo |
![]() |
Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard |
![]() |
Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino |
![]() |
Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo |
![]() |
Waziri Mahadhi akimpokelea tuzo marehemu baba yake, Omar Mahadhi |
![]() |
Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011 |
![]() |
Juma Pinto akikabidhi tuzo |
![]() |
Zena Chande na swahiba zake |
![]() |
Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe |
![]() |
Tullo Chambo na bosi wake |
![]() |
Akina nani sijui hawa |
![]() |
BIN ZUBEIRY kulia na Shaffih Dauda |
SHOMARI KAPOMBE AIBUKA MCHEZAJI BORA WA 2011 TUZO ZA (TASWA) DIAMOND JUBILEE
![]() |
Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza na kutoa nasaha zake katika utozji wa tuzo hizo. |
![]() |
Mkurugenzi wa Mawasiliano Kampuni ya bia ya Serengeti SBL Teddy Mapunda akitoa shukurani zake mara baada ya kukamilika kwa utoaji wa tuzo hiyo usiku wa kuamkia leo. |
![]() |
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Zanzibar ZBC Omar Said Ameir akikabidhi tuzo ya mchezaji bora wa Tanzania katika soka Agrey Morris katika hafla hiyo. |
![]() |
Mchezaji wa zamani wa timu ya Coast Union ya Tanga na Timu ya taifa Salim Amir akikabidhi tuzo kwa mchezaji Shomari Kapombe |
![]() |
Mpiga picha wa siku nyingi Athmani Hamisi akikabidhi tuzo kwa mchezaji bora wa kiume katika mchezo wa VoliboMbwana Ally huku akisaidiwa na msaidizi wake |
![]() |
Mwenyekiti wa kamati ya Tuzo za TASWA Masoud Saanane akizungumza katika hafla ya utozi wa tuzo hizo usiku huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee. |
![]() |
Mkurugenzi wa kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Richard Wells akizungumza katika hafla ya utoaji wa tuzo za mwanamichezo bora wa Tanzania |
Subscribe to:
Posts (Atom)