Sunday, June 24, 2012

TANZANIA NA CHINA ZAJIVUNIA MAFANIKIO YA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUGHULI ZA KILIMO.

 


Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Eng. Christopher Chiza (kulia) akizungumza jambo na Balozi wa China nchini Tanzania Bw.Lu Youqing wakati wa hafla fupi ya kusherehekea   mafanikio ya matumizi ya teknolojia ya kilimo kati ya  China na Tanzania kwenye miradi mbalimbali ya kilimo nchini.

Viongozi mbalimbali kutoka ubalozi wa China na seraikali ya Tanzania wakiimba wimbo wa Taifa wa Tanzania kabla ya kuanza  hafla fupi ya kusherehekea   mafanikio ya matumizi ya teknolojia ya kilimo kati ya  China  na Tanzania kwenye miradi mbalimbali inayofanyika nchini Tanzania.Kutoka kushoto nyuma ni balozi wa China nchini Tanzania Bw.Lu Youqing, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Eng. Christopher Chiza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John Haule.
Baadhi ya mashuhuda wa miradi mbalimbali ya ushirikiano kati ya China na Tanzania ukiwemo ujenzi wa  reli ya Uhuru (TAZARA) walioalikwa kwenye hafla hiyo  Bw. Abdul Haji (kulia) na mama Roza Kangoma (kulia) ambaye ni mama wa balozi wa Zambia nchini Tanzania pia aliwahi kuwa mkuu wa chuo cha mafunzo cha TAZARA.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Eng. Christopher Chiza (kulia) akizungumza na wageni mbalimbali walioalikwa na ubalozi wa China nchini Tanzania kuhusu  mikakati ya serikali ya kuboresha  kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao wakati wa hafla fupi ya kusherehekea   mafanikio ya matumizi ya teknolojia ya kilimo kati ya China na Tanzania katika miradi mbalimbali ya Kilimo inayofanyika Tanzania.
Wageni mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo katika ubalozi wa China nchini Tanzania wakifuatilia masuala mbalimbali wakati wa hafla hiyo.
Raia kutoka mataifa mbalimbali waliohudhuria hafla fupi ya kusherehekea   mafanikio ya matumizi ya teknolojia ya kilimo kutoka nchini China katika miradi mbalimbali inayofanyika nchini Tanzania wakijipatia nakala mbalimbali za machapisho kuhusu shughuli za kilimo, siasa, Utamaduni, Teknolojia na masuala ya kijamii.

UZINDUZI WA MOVIE YA WEMA SEPETU WATISHA - OMOTOLA AWASILI NCHINI ALFAJIRI

 

Wema Sepetu "Superstar"
                         
Chalz Baba na Steve Nyerere walikuwepo kutoa sapoti kwa msanii mwenzao

Vijana kutoka mjengoni nao walihudhuria
Barnaba akiwa na Dida, Shilole na Mainda




Wanamuziki AY na MwanaFA walikuwa ni baadhi ya wasanii wachache wa Bongo Fleva waliobahatika kuwepo kwenye usiku wa Wema Sepetu

Miriam Odemba akifanyiwa interview na Shadee

Shaa akifanyiwa mahojiano na Shadee wa Clouds TV

Mwanamuziki Shaa nae alikuwepo

Ray Kigosi na Richie walikuja kumsapoti Wema
Wema Sepetu akiwa na Mange Kimambe na Miriamu Odemba wakimsubiri Omotola Jalade kutoka Nigeria uwanja ndege Mwalimu JK Nyerere.
Mgeni akawasili - Mwigizaji wa Nigeria Omotola Jalade akiwasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere alfajiri hii.

Wema Sepetu na Omotola wakiondoka Uwanja wa Ndege baada ya Omotola kuwasili kutoka Nigeria.

Omotola akiwa na Miriam Odemba



KAZI NA DAWA! BIBI BOMBA WATINGA NDANI YA MAISHA CLUB NA KUACHA GUMZO KWA WAGENI WAALIKWA

 

 Bibi Bomba ni show iliyoanza hivi karibuni na baada ya kuwatafuta mabibi hao wamewekwa wote kwanye jumba la pamoja na mwisho wa shindano atachaguliwa bibi mmoja mkali na aliye Bomba kuwazidi wenzake. Pichani ni msanii wa Bongo Fleva Bob Junior aliwatembelea mabibi hao.

 Babuu wa Kitaa ndio Host wa kipindi hicho cha Bibi Bomba kinachorushwa na Clouds TV pichani akiwa anacheza mziki na mabibi hao.

 Ben Kinyaiya alikuwepo na alifungua shampen kwa mabibi zetu hao

 Hapa bwana hakuna mtu aliamini kama mabibi hao wanajua kuimba vizuri hadi wengine kutumbua mijicho kama ndugu yangu Ben pale hahahaa

safiii