Sunday, May 27, 2012

Mashindano ya Mchezo wa Judo yaanza rasmi

Rais wa Judo Tanzania Bw, Khalifa Kiumbemoto katikati akifuatila kwa makini Mashindano ya Mchezo huo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Landmark  jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto kwake ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Habari na Michezo Bw. Charles Mattoke  na wapili kushoto kwake ni Mdhamini wa Mashindano hayo kutoka Germin Copperation LTD Bw. Yulliy Tarverdyan. Katika Mashindano hayo Watanzania walionekana kushindwa na wachezaji kutoka Zanzibar.

No comments:

Post a Comment