Monday, June 18, 2012

MAONYESHO YA ZAO LA MPUNGA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 

Waziri wa kilimo chakula na ushirika Mhe. Chiristopher Chiza.akitoa hotuba yake katika maonyesho ya zao  la mpunga yaliofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja leo jijini Dar es salaam, ambapo amesema uzalishaji bado unakabiliwa na  changamoto mbalimbali zikiwemo,Uzalishaji na upatikanaji mdogo wa mbegu za mpunga na teknolojia bora uhifadhi na ufungashaji (Grading and packaging)(wa kwanza kulia) Naibu meya wa mansipaa ya Ilala Kheri Kessy.na wakwanza kushoto mkurungenzi msaidizi idara ya kilimo chakula na ushirika Bw.Dr Hussien Mansoor.
Mhe; Chiristopher Chiza mbele akiangalia ubora wa mbengu za mpunga alipotembelea mabanda (katikati) ni Naibu meya wa mansipaa ya ilala Kheri Kessy,(na kulia)mkurugenzi wa masoko na usambazaji wakala wa mbegu za kilimo wa Taifa (ASA)Bw;Philemon Kawamala.
Kikundi cha ngoma kijulikanacho kama Makirikiri Tanzania kilikuwa kikitoa burudani wakati wa maonyesho ya zao la mpunga leo katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Mhe. Waziri bChiristopher Chiza (wapili kulia)akisikiliza kwa umakini maelezo kutoka kwa mkufunzi wa zana za kilimo  za kulimia zao la mpunga  Bw.Omari Issa
Waziri Chiristopher Chiza katikati, Naibu )Meya wa mansipaa ya Ilala Kheri Kessy, wa pili kutoka kustoto na mkurungenzi msaidizi Idara ya Kilimo Chakula na Ushirika Dr Hussien Mansoor wakielea kutembelea mabanda ya wadau wa za mpunga,

No comments:

Post a Comment