Tuesday, July 3, 2012

MILOVAN AONGEZA MKATABA NA SIMBA


.


Kocha mserbia Milovan Cirkovic amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuifundisha Simba, zoezi hilo lilisimamiwa na mwenyekiti wa klabu ya Simba Mh Ismail Aden Rage.

No comments:

Post a Comment