Wednesday, June 6, 2012

BIN KLEB ARUDISHA FOMU YAKE NA MANJI JANGWANI


ABDALLAH Ahmad Bin Kleb amerudisha fomu yake ya kugombea Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, lakini inadaiwa alikuwa ana fomu nyingine tatu, ambazo inadaiwa kuwa ni za Yussuf Manji kugombea Uenyekiti, Isaac Chanji, Makamu Mwenyekiti, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakhim Masu. Pichani Bin Kleb akikabidhi fomu hizo.




Anaondoka

No comments:

Post a Comment