Wednesday, June 6, 2012

USAJILI MAMBO YAMEIVA,YONDAN AZICHANGANYA SIMBA YANGA.

 

Leo hii klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kinda raia wa Tanzania Kevin Patrick Yondan mwenye umri wa miaka 17,Yondan ambaye anacheza nafasi ya beki wa kati hajajulikana ametokea Klabu gani alizaliwa 9/10/1994.Mkataba wa Yanga na kinda huyo ni wa miaka miwili na unataraji kumalizika msimu wa 2013/2014.


hapa chini ni sehemu ya mkataba wa beki huyo na klabu ya Yanga yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani.

Wakati huo huo Simba Sc imetangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili beki wake wa kati Kelvin Patrick Yondani, mkataba huo mpya ulisainiwa tangia mnamo 23/12/2011 ikiwa ni maboresho ya mkataba wa awali uliokua unafika kikomo mwishoni mwa mwezi uliopita yaani 31/05/2012. Yondani mwenye umri wa miaka 27 pia ni beki wa kimataifa wa Tanzania.


Kelvin Patrick Yondani

First name:Kelvin Patrick
Last name:Yondani
Nationality:Tanzania
Date of birth:10 October 1984
Age:27
Place of birth:

 Baadhi ya michezo ambayo Kelvin Patrick Yondani ameichezea timu ya Taifa ya Tanzania.

TareheNyumbanimatokeo Ugenini
2012-06-02Côte d'Ivoire
2 - 0
Tanzania
2012-05-26Tanzania
0 - 0
Malawi
2012-02-23Tanzania
0 - 0
Congo DR
2011-11-15Tanzania
0 - 1
Chad
2011-11-11Chad
1 - 2
Tanzania
2010-06-07Tanzania
1 - 5
Brazil
2010-01-04Tanzania
0 - 1
Côte d'Ivoire

No comments:

Post a Comment