Sunday, June 3, 2012

EXCLUSIVE INTERVIEW NA MARIO GOMEZ: SPAIN NA UHOLANZI WANATISHA LAKINI NINA IMANI HUU NI MWAKA WETU

Qn: Unajisikiaje timu yako kupangwa kwenye kundi moja na Ureno na Uholanzi?
"Kushinda vizuri michuano kama hii ni lazima ukutane na timu kubwa na nzuri katika hatua fulani. Michuano ya Euro ni ya kiwango cha juu, hivyo sitegemei kupata ushindi kirahisi. Kwa kuanza tu tutakutana na Ureno na Uholanzi na nategemea kwamba tutakuwa tayari kupambana na kupata matokeo. Hii ndio nguzo ya timu yangu."


No comments:

Post a Comment