Saturday, June 9, 2012

WAZIRI WA HABARI FENELLA MUKANGALA ATEMBELEA TWIGA STARS KAMBINI JKT RUVU.


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangalla akisalimiana na Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya wakati alipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Tiwiga Stars kinayotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopiia. (Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangalla akisalimiana na mmoja wa Kamanda wa kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa cha Ruvu JKT wakati alipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Tiwiga Stars kinayotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopiia. (Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mkangalla akiteta  jambo na  Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya wakati alipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Twiga Stars kinachotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopiia. (Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).

No comments:

Post a Comment