Friday, June 8, 2012

GAMBIA WAKIWA MAZOEZINI KATIKA UWANJA WA KARUME JIJINI DAR-ES-SALAAM,TAYARI KUIVAA STARS JUMAPILI KATIKA MCHEZO WA KUWANIA KUFUZU KUSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2014 BLAZIL.


Timu ya Gambia ikiwa mazoezini katika uwanja wa karume jijini dar es salaam jioni hii kwa ajili ya mechi ya Timu ya Taifa Star katika uwanja wa Taifa jumapili  jijini dar es salaam.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Wachezaji wa timu hiyo wakijifua kwa kuchezea mpira wa pasi fupifupi kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es salaam leo jioni

No comments:

Post a Comment